MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Sunday 10 August 2014

Mgeni Rasmi wa ufunguzi wa sherehe ya siku ya wakulima (nanenane) kanda ya ziwa Mhe. Magalula Saidi Magalula Mkuu wa Mkoa wa Geita akihutubia wakati wa ufunguzi wa maonyesho hayo ambayo kikanda yalifanyika jijini Mwanza katika viwanja vya Nyamuhongolo.