MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Wednesday 19 March 2014

Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe. Magalula Saidi wa nne kutoka kushoto mstari wa nyuma na wakwanza kutoka kulia mstari wa nyuma ni Katibu Tawala Mkoa wa Geita Bw Severine Kahitwa wakiwa katika picha ya pamoja na kikundi cha ufugaji Nyuki cha Ikina.