MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Monday 3 March 2014

Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe. Magalula Saidi akizungumza na wanafunzi wa shule ya Sekondari Busolwa wakati wa ziara  ya kikazi wilaya ya Nyang'hwale hivi karibuni. Ziara hiyo ilikuwa na lengo la kukagua  utengenezaji wa madawati katika shule za msingi na pia kukagua upelekaji wa wanafunzi waliofaulu kujiunga na kidato cha kwanza katika shule za sekondari wilayani humo mwaka 2014.