MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Tuesday 24 February 2015

Katibu Tawala wa Mkoa wa Geita ndugu Charles Pallangyo akifafanua jambo mbele ya wajumbe (awapo kwenye picha) wakati wa uzinduzi wa semina elekezi ya viongozi wote wa serikali wa Mkoa wa Geita iliyofanyika hivi karibuni Mkoani hapa.