MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Tuesday 24 February 2015

Viongozi wa Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Dhahabu Geita Gold Mine (GGML) wakiwa katika Semina elekezi ya viongozi Mkoani Geita iliyofanyika katika Ukumbi wa Shule ya Sekondari Nyankumbu na kuhudhuriwa na Taasisi za Umma na binafsi ikiwemo kampuni hiyo.