MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Tuesday 2 February 2016

Mheshimiwa Makamu wa Rais akiongozana na viongozi mbalimbali wa kitaifa na Mkoa wa Geita wakati wa ukaguzi wa Hospitali Teule ya Mkoa. Kutoka kulia ni Waziri wa Afya Ummy Mwalimu, kushoto ni Fatma Mwassa Mkuu wa Mkoa wa Geita , mwingine ni Mhe. Vick Kamata (Mb).