MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Sunday 24 April 2016

Mheshimiwa Meja Jenerali (Mstaafu) Ezekiel Kyunga Mkuu wa Mkoa wa Geita akizungumza na vyombo vya Habari pamoja na viongozi mbalimbali wa Serikali Mkoani Geita kueleza madhumuni ya Ziara yake katika Halmashauri ya Mji Geita.