MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Sunday 24 April 2016

Moja ya Nyumba za watumishi wa Halmashauri ya Mji Geita zilizotembelewa na Mkuu wa Mkoa wa Geita katika eneo la Bombambili.Nyumba hizi zimejengwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC)