MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Friday 14 February 2014

BARAZA LA WAFANYAKAZI MKOA WA GEITA LAZINDULIWA RASMI NA MKUU WA MKOA WA GEITA Mh. MAGALULA S. MAGALULA NA WAJUMBE KUFANYA KIKAO CHAO CHA KWANZA.

Mgeni rasmi wa Baraza la wafanyakazi ambaye pia ni Mkuu wa Mkoa wa Geita  Mh. Magalula Said Magalula akihutubia Baraza hilo baada ya kulizindua tarehe 12/02/2014, kushoto ni Katibu Tawala Mkoa wa Geita BW. Severine Kahitwa ambaye pia ndiye M/kiti wa Baraza hilo na kulia ni katibu wa TUGHE Mkoa wa Geita Bw. Samweli M. Magero uzinduzi huo ulifanyiaka katika ukumbiwa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa  Geita.





Mkuu wa Mkoa wa Geita Mh. Magalula Said Magalula wa pili kutoka kulia akimsikiliza mjumbe wa BARAZA la Wafanyakazi Mkoani Geita alipokuwa mgeni rasmi na kuzindua rasmi BARAZA hilo mnamo tarehe 12/02/2014 ,kushoto ni Katibu  wa Baraza hilo na Mkuu wa kitengo cha Sheria Bw. Manase Ndoroma aliyechaguliwa na wajumbe kutoka kwenye majina yaliyopendekezwa na M/kiti wa Baraza hilo wa ambaye pia ni Katibu Tawala Mkoa wa Geita BW. Severine Kahitwa wa pili kutoka kushoto na kulia ni katibu wa TUGHE Mkoa wa Geita Bw. Samweli M. Magero, uzinduzi huo ulifanyika kaika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita.