MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Thursday 7 January 2016

Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwasili katika viwanja vya hospitali Teule ya Rufaa ya Mkoa wa Geita kwa ajili ya Ukaguzi wa Hospitali hiyo, huku akiambatana na Viongozi mbalimbali wa serikali kutoka kushoto wapili ni Mkuu wa Mkoa wa Geita Bi. Fatma Mwassa na kutoka kulia wapili ni Waziri wa Afya Ummy Mwalimu.