MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Thursday 7 January 2016

Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais akikata utepe  na kuweka jiwe la msingi  katika majengo ya wodi za huduma ya dharula (ICU) ambayo yalikarabatiwa na kuwekewa vifaa vipya kwa ajili ya huduma hizo.Wengine katika picha ni Mkuu wa Mkoa wa Geita Fatma Mwassa na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu wakwanza kushoto.