MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Thursday 7 January 2016

Katibu Tawala wa Mkoa wa Geita Charles Pallangyo akisalimiana na Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kuwasili Mkoani Geita tarehe 04/01/2016.