MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Friday 7 February 2014

PICHA ZA MATUKIO YA SHEREHE YA KUUAGA MWAKA 2013 NA KUUKARIBISHA MWAKA 2014 ILIYOFANYIKA TAREHE 10/01/2014 MKOANI GEITA.

Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe. Magalula S. Magalula akihutubia wakati wa Sherehe ya kuuaga Mwaka 2013 na kuukaribisha Mwaka 2014 zilizofanyika katika ukumbi wa Desire Park Mjini Geita