MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Friday 14 February 2014



Mbele kabisa ni Katibu Tawala Msaidizi Seksheni ya Serikali za Mitaa ambaye pia alichaguliwa kuwa Katibu Msaidizi wa Baraza la wafanyakazi Mkoa wa Geita  Bib.Sania Mwangakala  akifuatilia jambo na wajumbe wengine katika uzinduzi huo wa Baraza la wafanyakazi uliofanyika katika ukumbi wa Mkuu wa Mkoa Mkoani Geita tarehe 12/02/2014.