MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Friday 14 February 2014


Kulia ni Katibu Tawala Msaidizi Utwala na Rasilimali Watu Bw. E.T. RUGARABAMU na kushoto ni Afisa Utumishi Bw. Magange Khamis Mwita katika kikao cha BARAZA la wafanyakazi lililozinduliwa jana 12/02/2014 na Mh. Mkuu wa Mkoa Said Magalula Mkoani Geita