MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Wednesday 21 January 2015

Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa Fatma Mwassa akijionea namna shughuli za kuhifadhi na kuuza matunda na mbogamboga ndani ya Ghala zinzvyofanyika baada ya kufungua jengo hilo.