MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Wednesday 21 January 2015

Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Geita akifurahia na wananchi (hawapo kwenye picha) baada ya kuweka jiwe la ufunguzi katika ghala la kuhifadhi matunda na mbogamboga kijijini Igate.