MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Wednesday 21 January 2015

Mwakilishi wa kikundi cha wakulima wa nanasi Igate (UWAMAMI) akisoma taarifa ya kikundi hicho mbele ya Mheshimiwa Fatma Mwassa Mkuu wa Mkoa wa Geita wakati wa ufunguzi wa ghala la kuhifadhi matunda na mbogamboga lililojengwa na na shirika lisilokuwa la kiserikali ACCORD kijijini Igale -kata ya Nzera Halmashauri ya wilaya Geita.