MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Thursday 15 January 2015

Mkulima wa zao la Pamba kutoka wilaya ya Nyang'hwale Mkoa wa Geita Masoud Mtolle akichangia mada wakati wa Mkutano wa Sekta ndogo ya wadau wa Pamba Mkoa wa Geita.
Wawakilishi wa Wakulima wa Pamba Mkoa wa Geita wakifuatilia mada wakati wa Mkutano.


Mkulima wa zao la Pamba Mkoani Geita Ndugu Emmanuel Shija akichangia mada katika Mkutano wa Wadau wa Sekta ndogo ya Pamba Mkoa wa Geita.