MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Wednesday 19 August 2015

Mheshimiwa Fatma Mwassa Mkuu wa Mkoa Geita akikabidhi Mwenge wa Uhuru kwa Nassoro Rufunga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga tarehe 16/08/2015 baada ya kutembelea, kukagua, kuzindua na kuweka mawe ya msingi katika jumla ya miradi ya maendeleo 67 ya Mkoa wa Geita. Miradi hiyo inathamani ya Tshs Bilioni 4,464,623,471/= fedha ambazo ni michango ya serikali kuu, wananchi, Halmashauri za Wilaya na Wahisani mbalimbali.