MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Monday 21 March 2016

RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA AMWAPISHA JENERALI EZEKIEL ELIAS KYUNGA KUWA MKUU MPYA WA MKOA WA GEITA


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa John Pombe Magufuri akimwapisha Jenerali Mstaafu Ezekiel Elias Kyunga kuwa Mkuu  mpya wa Mkoa wa Geita wakati wa hafla ya kuwaapisha wakuu wa Mikoa Ikulu.
Mkuu wa Mkoa wa Geita mheshimiwa Ezekiel Eliasi Kyunga akimkabidhi hati ya kiapo Mheshimiwa Rais  baada ya kuapishwa.