MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Monday 20 October 2014

Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Geita Magalula Saidi Magalula akizungumza na akina mama waliojitokeza katika uzinduzi wa Chanjo ya Surua-Rubella ambao katika Mkoa wa Geita Uzinduzi huo ulifanyika katika Kituo cha Afya Nyankumbu Halmashauri ya Mji Geita.