MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Monday 20 October 2014

Mkuu wa Wilaya ya Geita Manzie Mangochie akizungumza na wananchi wa Nyankumbu wakati wa uzinduzi wa Chanjo ya Surua - Rubella Mkoani Geita ambao ulifanyika katika kituo cha Afya Nyankumbu Halmashauri ya Mji Geita.