MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Monday 20 October 2014

Mkuu wa Mkoa wa Geita mhe Magalula Saidi   wapili kutoka kulia akipata maelezo kutoka kwa mhudumu wa Afya namna shughuli za utoaji chanzo zinavyoendelea wakati wa uzinduzi wa chanjo hizo Mkoani Geita.Wakwanza kulia ni Mganga Mkuu wa Mkoa Geita Dr.Kisala na watatu ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Geita ndugu Severine Kahitwa.