MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Monday 20 October 2014

Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe.Magalula Said Magalula wapili kutoka kulia kwa walio simama akijionea namna shughuli za utoaji chanjo, matone na dawa za minyoo  kwa watoto wa miezi 9 hadi chini ya miaka 15 zinavyoendelea wakati wa uzinduzi wa chanjo ya Surua- Rubella Mkoani Geita,wakwanza kulia ni Mganga Mkuu wa Mkoa Dr.Joseph Kisala.