MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Tuesday 21 October 2014

MKOA WA GEITA WAZINDUA CHANJO YA SURUA-RUBELLA KWA WATOTO WA MIEZI 9 HADI CHINI YA MIAKA 15

Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Geita Magalula Saidi Magalula akizindua chanjo ya Surua-Rubella kwa kumpa mtoto matone na dawa za minyoo huku akishuhudiwa na viongozi wengine wa serikali waliohudhulia ulinduzi huo uliofanyika katika kituo cha Afya Nyankumbu nje kidogo ya Mji wa Geita.Watoto 923,000 katika Mkoa wa Geita wanategemea kupata chanzo hizo.