MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Friday 19 December 2014

Mkuu wa Wilaya ya Geita Manzie Mangochie akizungumza na wajumbe wa kamati ya kutangaza matokeo Mkoa wa Geita kabla ya kumkaribisha Katibu Tawala wa Mkoa ili afungue kikao hicho cha kutangaza matokeo na uteuzi wawanafunzi watakaojiunga kidato cha kwanza mwaka 2015 Mkoa wa Geita.