MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Tuesday 2 December 2014


Vikundi vya Kwaya kutoka Mgusu vikitumbuiza  katika Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani.

Viongozi mbalimbali wa serikali na taasisi binafsi wakiwa wamejitokeza katika maadhimisho ya siku ya UKIMWI Duniani ambayo katika Mkoa wa Geita ilifanyika kijiji cha Mgusu wilayani Geita.