MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Tuesday 2 December 2014


Wananchi wa Kijiji cha Mgusu na Wanafunzi wa Shule ya Msingi Mgusu wakiwa wamejitokeza kwa wingi katika maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniania ambapo katika Mkoa wa Geita Maadhimisho hayo yamefanyika Kijiji cha Mgusu Kata ya Mtakuja Wilaya ya Geita.