MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Friday 19 December 2014

Wajumbe wa Kamati ya uteuzi wa wanafunzi wa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2015 Mkoa wa Geita wakiwa katika kikao cha kutangaza uteuzi wa wanafunzi na kutangaza matokeo darasa la saba Mkoa wa Geita kilichofanyika tarehe 19/12/2014 katika ukumbi wa shule ya Sekondari ya wasichana Nyankumbu.