MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Tuesday 2 February 2016

Mitambo ya ujenzi wa barabara iliyonunuliwa na Halmashauri ya Mji Geita na kuzinduliwa na Mheshimiwa Samia Suluhu Makamu wa Rais.

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Mji Geita Max Kamaoni akisoma taarifa ya ununuzi wa mitambo ya ujenzi wa barabara ambayo ilizinduliwa na Mheshimiwa Makamu wa Rais yenye thamani ya Shilingi 1.2 bilioni fedha ambazo ni mapato ya ndani ya Halmashauri hiyo. Makamu wa Rais alipongeza jitihada zilizofanyika mpaka kupata mitambo hiyo muhimu kwa maendeleo ya Halmashauri hata, hivyo aliagiza kuwa mitambo hiyo itunzwe na itumike kwa kazi zilizokusudiwa.