MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Friday 6 June 2014

Katibu Tawala Msaidizi Idara ya Uchumi na Uzalishaji Mkoa wa Geita Emil Kasagala akieleza mbele ya wadau namna  kilimo cha Mkataba cha pamba kinavyotekelezwa katika Mkoa wa Geita katika kikao cha kufanya tathimini ya kilimo hicho kwa  msimu unaokwisha na namna Mkoa ulivyojipanga kwa msimu mpya wa kilimo hicho.