MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Thursday 19 June 2014



Watoto mbalimbali waliojitokeza kusherekea maadhimisho ya siku ya Mtoto wa Afrika tarehe 16/06/2014 wakiwa katika picha, ambapo katika Mkoa wa Geita Maadhimisho hayo yalifanyika katika kata ya Kasenga Tarafa ya Kachwamba Wilaya ya Chato.