MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Friday 13 June 2014

Katibu Tawala wa Mkoa wa Geita Severine Kahitwa akisaini kitabu cha wageni baada ya kuwasili ofisi ya muda ya Tarafa ya Nyakamwaga wilaya ya Geita,lengo la ziara ya katibu Tawala wa Mkoa lilikuwa kukagua ujenzi wa Ofisi za Tarafa Mkoani Geita.