MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Thursday 19 June 2014

Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya ya Chato Rodrick Mpogolo akizungumza na Wananchi wa Kata ya Kasenga wakati wa maadhimisho ya siku ya Mtoto wa Afrika ambayo katika Mkoa wa Geita yalifanyika kijiji hicho wilaya ya Chato.