MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Thursday 19 June 2014


Viongozi mbalimbali wa Mkoa wa Geita wakiwa katika Maadhimisho ya siku ya Mtoto wa Afrika wakwanza kutoka kulia ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Geita Ndugu Severine Kahitwa, wapili kutoka kulia ni Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita Joseph Konyo na Kamishina wa uhamiaji Mkoa wa Geita Charles Washima.