MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Friday 6 June 2014

Wadau wa Sekta ndogo ya Pamba Mkoa wa Geita wakiwa katika kikao cha sita cha sekta hiyo kilicho kaa hivi karibuni katika ukumbi wa mikutano wa halmashauri ya wilaya ya Geita, kikao hicho kilikaa kwa lengo la kufanya tathimini ya kilimo cha mkataba na changamoto zake kwa msimu wa 2013/2014.