MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Tuesday 25 November 2014

KATIBU TAWALA MPYA MKOA WA GEITA AKABIDHIWA RASMI OFISI AWATAKA WATUMISHI KUONYESHA USHIRIKIANO KATIKA UTENDAJI KAZI


Katibu Tawala Mkoa wa Geita ndugu Charles Pallangyo wakwanza kulia walio simama akikabidhiwa rasmi nyaraka za Ofisi na aliyekuwa Katibu Tawala Mkoa wa Geita Severine Kahitwa ambaye amehamia Mkoa wa Kilimanjaro.
Aliyekuwa Katibu Tawala Mkoa wa Geita  Ndugu Severine Kahitwa akiweka saini katika nyaraka mbalimbali za serikali na kumkabidhi rasmi nyaraka hizo Katibu Tawala mpya wa Mkoa wa Geita Ndugu Charles Pallangyo.