MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Thursday 30 April 2015

Katibu wa Chama cha wafanyakazi (TUGHE) Mkoa wa Geita  Bi. Ethel Kahuluda akizungumza na wajumbe wa baraza ambapo aliwaeleza namna wafanyakazi wanavyotakiwa kuwa wakati wa kutimiza majukumu yao ya kila siku na pia pale wanapozungumza na viongozi au waajiri wao. Alisema kuwa wafanyakazi wana kero nyingi zinazowakabili lakini ni vyema wakawa wavumilivu na watulivu wakati wa kudai haki zao za msingi napia wahakikishe kuwa pamoja na kudai haki hizo pia watimize wajibu wao ipasavyo wakati wa kuhudumia wananchi.