MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Thursday 30 April 2015

Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi Mkoa wa Geita wakifuatilia kwa karibu makaburasha wakati  wa kikao cha baraza hilo kilichofanyika katika Ukumbi wa Mkuu wa Mkoa wa Geita kwa lengo la kujadili changamoto zinazowakabili wafanyakazi na kuzitafutia ufumbuzi.(Picha-Afisa Habari RS-GEITA)