MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Thursday 30 April 2015

Mratibu wa UKIMWI Mkoa wa Geita Dkt. Joseph Odero akiwasilisha mada kuhusu UKIMWI ambapo aliwataka wajumbe kuwahamasisha wafanyakazi kuwa na tabia ya kupima virus vya UKIMWI na pale watakapo jitambua kuwa wameathirika wajitokeze ili wapate huduma, pia kama hawajaambukizwa ni bora wakatumia njia za kujikinga na maradhi hayo au kuwa waaminifu au kujizuia kabisa.