MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Thursday 30 April 2015

Mjumbe wa baraza la wafanyakazi Mkoa wa Geita ndugu D.B Kayango ambaye pia ni Katibu Tawala Msaidizi Idara ya Mipango Mkoa wa Geita akiwasilisha bajeti ya Mkoa wa Geita kwa Mwaka 2015/2016 mbele ya wajumbe wa kikao cha baraza hilo kilichofanyika Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa.