MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Thursday 30 April 2015

Mganga Mkuu wa Mkoa Geita Dkt. Joseph Kisala akitoa ufafanuzi  kwa wajumbe wa baraza la wafanyakazi Mkoa wa Geita wakati wa kikao kilichofanyika tarehe 29/04/2015 kuhusu utaratibu wa malipo ya posho ya muda wa ziada wa kazi kwa madaktari na wauguzi wa hospitali, Vituo vya Afya na Zahanati.