MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Wednesday 19 August 2015

Kiongozi wa Mbio za Mwenge 2015 ndugu Juma Khatibu Chum akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Geita Fatma Mwassa baada ya kuwasili Mkoa wa Geita, wengine katika mstari ni kamati ya ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Geita.