MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Wednesday 19 August 2015

Mheshimiwa Fatma Mwassa Mkuu wa Mkoa wa Geita akikabidhi Mwenge wa Uhuru kwa Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Chato manzie Mangochie baada ya Mwenge kuwasili Mkoani Geita ukitokea Mkoa wa Kagera na kupokewa katika kijiji cha Mkolani Wilaya ya Chato.