MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Wednesday 19 August 2015

MWENGE WA UHURU 2015 WAZINDUA, KUFUNGUA NA KUWEKA MAWE YA MSINGI KATIKA MIRADI YA MAENDELEO 67 YENYE THAMANI YA TSHS. BILIONI 4,464,623,474/= MKOANI GEITA.

Askari na wananchi wa Mkoa wa Geita kwa pamoja wakiukimbiza Mwenge wa Uhuru ulipokuwa Mkoani Geita kuanzia tarehe 10/08/2015 hadi tarehe 16/08/2015. Mwenge ulikimbizwa katika Wilaya zote 5 za Mkoa wa Geita na katika Halmashauri za Wilaya 6 kwa umbali wa Kilometa 664.13 katika miradi 67 ya maendeleo yenye thamani ya Tshs. Bilioni 4,464,623,474/=.