MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Wednesday 19 August 2015

Mheshimiwa Fatma Mwassa Mkuu wa Mkoa wa Geita (aliye vaa suti nyeusi) akikabidhiwa Mwenge wa Uhuru na Mheshimiwa John Mongella Mkuu wa Mkoa wa Kagera katika kijiji cha Mkolani Halmashauri ya Chato baada ya Mwenge kuwasili Mkoa wa Geita.