MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Wednesday 19 August 2015

Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa 2015 ndugu Juma Chum akizindua mradi wa maji bomba katika kijiji cha Kikumbaitare Halmashauri ya Wilaya Chato. Mradi huu utanufaisha watu zaidi ya 1500 ambao walikuwa wakitembea umbali mrefu kutafuta maji.