MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Wednesday 19 August 2015

Kiongozi wa Mbio za Mwenge akimkabidhi mama Chandarua chenye dawa kuonyesha juhudi za serikali  za kupambana na ugonjwa wa malaria ili kuhakikisha kuwa wananchi wanakuwa na afya njema wakati wote.

Kiongozi wa Mbio za Mwenge 2015 Juma Chum akikabidhi mzinga wa nyuki kwa kikundi cha wajasiliamali wanawake cha Ufugaji Nyuki wakati wa Mbio za Mwenge Mkoani Geita.Hii ni kuonyesha namna serikali inavyowasaidia wanawake ili waondokane na umaskini kwa kuwaunganisha katika vikundi ili wazalishe na kujipatia kipato.