MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Sunday 10 August 2014

Wananchi wa Kanda ya Ziwa wakishuhudia uzinduzi rasmi wa maonyesho ya siku ya wakulima (nanenane) ambayo yalizinduliwa tarehe 5/08/2014 jijini Mwanza, Mgeni rasmi wa uzinduzi wa sherehe hizo alikuwa Mhe. Magalula S Magalula Mkuu wa Mkoa Geita.